Sunday, 30 June 2013

UJIO WA OBAMA WAWALAZA NJAA WAMACHINGA


Wafanyabiashara waliokuwa wakifanya biashara katikati ya jiji na kuondolewa kutokana na ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama, wamelalamika kuwa sasa wanakabiliwa na maisha magumu.


Obama anatarajia kuwasili nchini kesho katika ziara ya kikazi ya siku mbili huku akiambatana na ujumbe wa watu wapatao 700.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi Jumapili, wafanyabishara hao walisema kuondolewa huko kumewafanya kukosa kipato walichokuwa wakikipata hivyo kusababisha ugumu wa maisha.
Frank Mkama alilalamika: “Hapa Serikali isiseme kuwa wanafanya usafi wa jiji kwa kuwaondoa wafanyabiashara hii si kweli! Mbona hawakufanya zamani, hapa ni Obama ndiyo amesababisha sisi tukaondolewa.”
“Hivi sasa maisha yangu yamekuwa magumu. Kipato ambacho nilikuwa nakipata hapa na kula na familia yangu sasa sikipati.”
Naye, Elizabeth Makata alilalamika Serikali ilipaswa kuwaandaa wananchi kwa kuwaeleza ujio huo wa Obama watanufaika vipi na si kuwafanya waathirike kwa kuvunjiwa maeneo yao.
Alielezea wasiwasi kuwa huenda baada ya ziara hiyo wakashindwa kuendelea na biashara kwa kuwa watakuwa wamekula mitaji.
Kwa upande wake, Ramadhan Issa alisema ziara hiyo ya Rais Obama imeathri maisha yake kutokana na kuvunjiwa kibanda alichokuwa akifanyia biashara hivyo hajui hatima ya maisha yake.
Kadhalika Mwananchi Jumapili iliwashuhudia askari polisi wakionekana kuongezeka katikati ya jiji wakipita huko na kule kuhakikisha hali ya usalama inaimarika.
Pia hali ya usafi imeendelea kuimarika kutokana na ujio kutokana na juhudi zinazoendelea kufanywa kwa lengo la kusafisha mazingira.

Licha kwamba wafanyabiashara hao wameondolewa hivi karibuni baadhi yao wameanza kurejea kuendelea na shughuli zao kama kawaida

UNAJIFUNZA NINI KUPITIA HIKI KISA?

Obama anasema; " Wakati tukiendelea na masomo yetu ya Sheria mimi na Michelle tulifanya kazi katika kampuni ya Uwakili ya Sidley na Austin jijini Chicago.
Binafsi nilikuwa na wasi wasi kuhusu ujana wangu na hasa changamoto kuwa maisha ya sasa ni fedha. Hofu yangu ilikuwa ni lini nitaanza kukamata fedha nyingi ili zisaidie mawazo na fikra zangu kufikia mahala ninapotaka.


Lakini, kutokana na kupanda kwa gharama na mkopo niliyochukua Serikalini kwa ajili ya masomo, niliamua kuendelea kuwatumikia mabwana wawili; chuo na kampuni ya sheria.
Nilijitahidi kadiri nilivyoweza kundunduliza sehemu ya kipato changu . Hatimaye nilifanikiwa kuwa na chumba. Nilinunua suti zangu tatu na pia jozi moja ya viatu.
Hata hivyo, wakati nanunua viatu sikuwa makini, kwani vilionekana vidogo; vilivyonibana na kunifanya nionekane mshamba. Siku niliyopiga ripoti ofisini, kila mmoja aliniangalia.
Ingawa sikujua ni kwa nini, lakini nilihisi walifanya hivyo kutokana na viatu vyangu!"- Barack Obama

HAYA NDIO MAMBO YA YANAYOCHANGIA KUVUNJA UHUSIANO WA KIMAMPENZ HATA NDOA

1. Kutokuwa na mawasiliano ya karibu na mwenzi wako.
2. Kutojali maumivu ya mwenzi wako.
3. Ubishi usiokuwa na maana.
4. Kupenda kujihesabia haki.
5. Kutokubali makosa.
6. Kutokuwa na roho ya msamaha.
7. Kutokuwa muwazi kwa mwenzi wako.
8. Usaliti wa mapenzi.
9. Kuigiza kupenda.
10. Kutomheshimu mwenzi wako.
11. Kuwa mjuaji kila kitu unajifanya unajua.
12. Kutokutambua uthamani wa mwenzi wako katika maisha yako.
13. Kuwa na jeuri.
14. Kutokuwa na kifua cha kuficha mambo ya nyumbani. [chumbani]
15. Kuto kujali watu wa nyumbani kwako [ndugu,watoto n.k]
16. Kujiamulia kufanya vitu bila ushauri wa pamoja.
17. Kutokuwa na faraja na mwenzi wako [kutokujua jinsi ya kumfariji mwenzi wako]
18. Kutomridhisha mwenzi wako kimapenzi.
19. Kuwa na amri kwa mwenzi wako hata kwa mambo yasiyokuwa na maana au malengo katika maisha yenu.
20. Ugomvi wa muda mrefu usiokuwa na suluhu.
21. Kuwa na ahadi za uongo.
22. Kumdhalilisha mwenzi wako mbele za watu.
23. Kupenda starehe kuliko kuujenga uhusiano wa kudumu [love]
24. Uchafu kutojipenda na kupenda mazingira yako.
25. Maudhi ya mara kwa mara.
26. Kutoonyesha hisia kali hisia kali za mapenzi kwa mwenzi wako.
27. Kutokuwa karibu na mpenzi wako mara anapokuwa katika msongo wa mawazo.
28. Kutokuwa mbunifu wa maisha mapenzi.
29. Kutokuwa na msimamo katika maamuzi yako [kutoendeshwa na watu]
30. Kutokuwa na muda na mwenzi wako.
31. Kutokuwa na shukrani.
32. Kutokujua gharama za upendo.
33. Kuwa na wivu wa kijinga.
34. Kuwa mbinafsi.
35. Kujifanya kuwa [busy] na kushindwa kumtunza na kumjali mwenzi wako
36. Kutokuwa na imani juu ya mwenzi wako.
37. Kutokubaliana na hali halisi ya maisha yenu.
38. Kutokukubali kujifunza.
39. Kutokutambua maana ya mapenzi na umuhimu wake.

Tabia hizo ndizo zinasababisha mahusiano ya watu wengi kuvunjika, hata ndoa kuharibika maana huyu mtu unayemfanyia hivi ipo siku atachoka, maana hana moyo wa jiwe bali ana moyo wa nyama. Kuvumilia nako kunamwisho wake, hizo tabia ndizo zimechangia maumivu, vidonda vya mapenzi, vifo vya watu wengi na kuwafanya watu wengine kuchukia kupenda na kupendwa katika maisha yao

NEEMA KATIKA MAWASILIAONO NA MAFUTA


SERIKALI YASHUSHA USHURU WA PETROLI....USHURU WA SIMU WAFUTWA


MFUMO mpya wa Bunge kuanza na bajeti za kisekta na kumalizia na Bajeti ya Serikali pamoja na uundwaji wa Kamati ya Bajeti, umeonesha makali yake kiasi na kuilazimisha Serikali, kushusha kodi ya petroli na kufuta ushuru wa kutuma na kupokea fedha kwa njia ya simu.


Kabla ya Serikali kufikia uamuzi huo jana saa sita usiku, Kamati ya Bunge na wabunge walivutana na Serikali mara kadha wa kadha juu ya kodi mbalimbali, na kulazimika Kamati hiyo na Serikali kukaa si chini ya mara mbili, kujadili.
Katika vikao vyao, vikao viwili vya juzi na jana, Kamati ya Bajeti inayoongozwa na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), na Waziri wa Fedha, William Mgimwa, naibu wake wawili na wataalamu wake wa wizarani, walikaa kujadili tofauti zao mpaka saa sita usiku.


Mvutano wa Kwanza Mvutano wa kwanza ulianza mwanzoni mwa wiki hii, baada ya Waziri Mgimwa kuanza kujibu hoja za wabunge kuhusu Bajeti ya Serikali, ambayo ilipongezwa na kupingwa na Kamati ya Bajeti.


Hoja za wabunge na Kamati ya Bajeti, zilihusu punguzo la kodi katika mishahara, petroli, huduma za simu na magari yenye umri wa kuanzia miaka 10 na kuendelea na kodi katika huduma za utalii.


Hata hivyo, Mgimwa alipokuwa akijibu hoja za wabunge kabla ya kuwaomba wapitishe Bajeti ya Serikali, aliwataka wapitishe kwanza bajeti hiyo na hizo hoja zao zijibiwe katika Muswada wa Sheria ya Fedha, hatua ambayo wabunge waliiridhia na Bajeti ya Sh trilioni 18.2, ikapita.


Hata hivyo baada ya Bajeti kupita, Mgimwa aliwasilisha Muswada huo, ambao uliacha baadhi ya kodi ikiwemo ya magari mabovu kuzidi miaka 10, ya petroli na dizeli na ya simu.


Baada ya Mgimwa kumaliza kusoma Muswada huo, Chenge huku akiungwa mkono na wabunge wengi, alipokuwa akisoma maoni ya Kamati ya Bajeti, alisisitiza baadhi ya kodi zifutwe au kupunguzwa na kuielekeza Serikali kutafuta vyanzo vipya katika ripoti ya Kamati ya Spika ya vyanzo mbadala vya mapato ya Serikali.


Vikao vya saa sita usiku Kutokana na mvutano huo, Waziri wa Fedha na Kamati ya Bajeti walikutana Jumatano wiki hii mpaka saa sita usiku na hata walipotoka, walikuwa hawajaafikiana, kiasi cha Mgimwa kuja na marekebisho kidogo, ikiwemo kuondoa kodi ya utalii, lakini Chenge akaja na msimamo katika kodi ya petroli na utumaji na upokeaji fedha kwa njia ya simu.

Baada ya maoni ya Chenge, wabunge saba walileta majedwali ya mabadiliko, na kusababisha Spika wa Bunge, Anne Makinda, kuitaka Kamati ya Bajeti, Waziri wa Fedha na hao wabunge kurudi kutafuta suluhu juzi.

Katika kikao hicho cha suluhu cha juzi Alhamisi, Kamati hiyo na Waziri, waliendelea kuvutana mpaka saa sita usiku tena ndipo wakaafikiana, ambapo jana walikuja na kauli moja.


*Suluhu
Kabla ya Mgimwa kutangaza mwafaka, Chenge alipewa nafasi na kumsifu Waziri Mgimwa kwa kuwa msikivu na mtu asiyependa makuu na kusema, wamefikia makubaliano ambayo ni habari njema kwa Watanzania.

Baada ya Chenge kutangaza habari hiyo njema, Mgimwa alisimama na kuanza na kodi ya petroli, ambapo alisema Serikali imeridhia kutoongeza ushuru wa bidhaa katika petroli wa Sh 61 na hivyo, itaendelea na ushuru uliopo wa Sh 333.

Alisema pia wameridhia kusitisha kuongeza Sh 2 katika ushuru wa bidhaa ya dizeli, na hivyo dizeli itaendelea na ushuru wa mwaka huu wa fedha unaoisha Juni 30, mwaka huu wa Sh 215.

Mafuta ya taa pia, ushuru uliokuwepo ulikuwa Sh 430 na Serikali wakati wa mvutano ilitaka uongezwe uwe Sh 475, lakini katika muafaka sasa utateremka mpaka Sh 425, na bado utasaidia kuzuia uchakachuaji wa mafuta, kwa kuwa utakuwa juu kuliko wa dizeli.

Hata hivyo, katika ushuru wa barabara unaotozwa katika petroli na dizeli, walikubaliana katika petroli uongezwe kutoka Sh 200, hadi Sh 263 na katika dizeli kutoka Sh 200 hadi Sh 263, ili barabara za vijijini zijengwe na nyingine zikarabatiwe.

Mgimwa alisema katika huduma za simu za kutuma na kupokea fedha, ushuru wa asilimia 14.5 uliokuwa uwekwe, sasa umeondolewa na utabaki katika kupiga simu, kutuma ujumbe mfupi na huduma zingine za simu.

Kodi ya magari yenye umri wa zaidi ya miaka 10, kwa magari ya kawaida kutoka asilimia 20-25 na katika magari ya kazi asilimia 5, Kamati ya Bunge pamoja na kuipinga, lakini ilikubaliana na msimamo wa Serikali.

Serikali pia imekubali kuchukua ushauri wa Bunge, wa kutafuta vyanzo mbadala vya mapato kutoka katika uvuvi wa samaki katika bahari kuu, uuzaji wa mashudu nje ya nchi na katika mashirika yenye tozo za moja kwa moja kutoka katika mafuta ya petroli.

Hata hivyo, Serikali ilikataa kuondoa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (Tanapa) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, katika kuwajibika kulipa asilimia 10 ya mapato ghafi yake au ya bajeti yake ya mwaka, katika Mfuko Mkuu wa Serikali kama mashirika mengine ya umma.


*Pinda, Makinda
Baada ya kumalizika kwa mvutano huo, Muswada wa Sheria ya Fedha ulipitishwa kwa ndio na wabunge wote bila kujali vyama vyao, huku Makinda akisifu kazi ya Kamati ya Bajeti, kwamba wanastahili kupata Phd ya heshima, kwani imeibadili Bajeti ya Serikali, huku Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akisifu kuwa kazi nzuri imefanyika na kuisha salama.

“Wote mtakumbuka tumeanza Mkutano huu kwa changamoto kubwa ya mabadiliko ya mzunguko mpya wa kuwasilisha Bajeti ya Serikali na pengine kulikuwepo hoja ya mashaka kuhusu ufanisi wake. 

“Napenda kuliarifu Bunge lako tukufu kwamba tumefanya vizuri sana, wote ni mashahidi kwamba waheshimiwa wabunge wamejadili kwa kina na kutoa ushauri wao ambao kwa kiasi kikubwa umezingatiwa na Serikali,” alisema Pinda

Saturday, 29 June 2013

What a Woman Wants From a Man

EXCLUSIVE : President Uhuru Kenyatta Funny Moments!

KUNA UWEZEKANO HUENDA SHUJAA NELSON MANDELA AMEFARIKI DUNIA.SOMA HIZI NI BAADHI YA HABAR ZILIZO SAMBAA KWA KASI


FROM TRENDING WEBSITE: NELSON MANDELA DIES AT 94.
A reliable source has revealed that Nelson Mandela’s life support machine was shut down and he has died in the hospital aged 94.

According to the source, the iconic Mandela died last night while he was still in the hospital for the recurring lung infection that left him in critical condition for several days.

Rumors have flooded the newspapers and the internet with several sources reporting his death days earlier in a cruel attempt to fool the public and to upset the many people who have respect for this great humanitarian. The loss of the great man will be felt across the world.

Earlier today one of our writers, Laura Oneale, wrote an article questioning whether or not Nelson Mandela was still alive. He had been in the hospital 19 days for a recurring lung infection. As speculation surrounding his health continued to grow with many asking whether he was still alive or if, in fact, he had died. Until recently authorities would only confirm that he was on a life support system and remained in a critical condition.
Authorities have confirmed that Nelson Mandela has been taken off his life support machine, adding fuel to the speculation that he had died. Because of this, the rumor has been spreading that Nelson Mandela died last night and that the government and his family have “kept a lid” on the news because of American President Obama’s upcoming trip to South Africa. Obviously, the president’s visit will be overshadowed by the announcement of the Nobel Prize winning Mandela.
The Nobel Prize winning humanitarian Nelson Mandela had his life support shut down after
he died last night aged 94 at the end of a long battle with illness that ended with his hospitalization and finally his death. While his health problems started in 2011, it was the summer of this year when his
condition worsened.

In February 2011, he was briefly hospitalized with a respiratory infection, attracting international attention. He was then re-hospitalized for a lung infection and gallstone removal in December 2012. After his successful medical procedure in March 2013 did not prevent his lung infection from recurring he was briefly hospitalized in Pretoria.

On June 8, 2013, his lung infection
worsened and he was re-hospitalized in Pretoria in a serious condition.
After four days, it was reported that he had stabilized and that he
remained in a “serious, but stable condition”.

While on his way to
the hospital, the ambulance carrying Mandela broke down and was
stranded on the roadside for 40 minutes. The South African government
was criticized for the incident when it confirmed the report weeks
later. President Jacob Zuma protested: “There were seven doctors in the
convoy who were in full control of the situation throughout the period.
He had expert medical care.”

On June 22, 2013 CBS News reported
that Mandela had not opened his eyes in days and that he was
unresponsive. The family began discussing just how much medical
intervention should be given.

On June 23, 2013 President Jacob
Zuma issued a statement saying that Mandela’s condition had become
“critical.” Zuma, who was accompanied by the Deputy President of the
ANC, Cyril Ramaphosa, met with Mandela’s wife Graca Machel at the
hospital in Pretoria and discussed his condition.

On June 25,
2013, Cape Town Archbishop Thabo Makgoba visited Mandela at the hospital
and prayed with Graca Machel Mandela “at this hard time of watching and
waiting.”

On June 26, 2013, Nelson Mandela was taken off life
support after his condition deteriorated further. Sources have said that
the 94 year-old Mandela died last night after his life support was shut
down.

The Las Vegas Guardian Express writer Laura Oneale also
wrote that in Qunu, the home town of Nelson Mandela, his family got
together with the elders to discuss specific events surrounding the
well-being of Mandela. It has been confirmed that they were talking
about highly sensitive issues.

The grandson of Nelson Mandela
angrily left the meeting over a disagreement of where the former
president was to be buried. Mandela’s daughter, who was seen wearing a
red blanket, and other family members were at the gravesite. It has been
reported that the “red blanket” is part of a tribal ceremony of the
Xhosa. According to Xhosa custom the blanket is used when a family
member has died.
Later in the same day, gravediggers arrived at the Mandela burial site.

Sources
have confirmed that Nelson Mandela died last night after his life
support was shut down and the respected iconic humanitarian has died age
94. Details of the funeral arrangements will be released when they
become available.

HIKI NDICHO WALICHOFANYA WA SOUTH KUPINGA UJIO WA OBAMA NCHINI KWAO




 Waandamanaji Nchini Afrika Kusini wakiwa wamebeba mabango yanayopinga kuja Kwa Raisi Obama nchini Humo wakati wa maandamano ya Amani ya Kupinga Kuja Kwa Obama Katika Jiji la Pretoria Nchini Afrika  jana Jioni - Juni 28

 Waandamanaji Nchini Afrika Kusini Wakisali mbele ya Bango linalopinga Kuja kwa Raisi Obama Nchini Humo wakati Raisi Obama alipotua Nchini Afrika Kusini Jioni ya jana  Juni 28

 Waandamaji wa Nchini Afrika Kusini wakiwa wanasali mbele ya Ubalozi wa Marekani wakati wa maandamano ya kupinga kuja kwa Raisi Obama Nchini Humo jana  wakati Raisi Obama alipotua Nchini Humo Kwa Ziara ya Siku 2 ..

Mmoja wa waandamaji nchini Afrika Kusini ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja akiwa amebeba moja ya Bango ambalo Linamwita Raisi OBAMA kuwa ni Mpishi wa Ikulu ya Marekani kama linavyosomekana na kuendelea kuelezea kuwa sera za Marekani ni tatizo.Mwandamaji huyu alibeba bango hilo jana  Juni 28 wakati wa maandamo ya amani kuelekea mbele ya Ubalozi wa Marekani NChini humo kwa kupinga Kuja Kwa OBAMA Nchini Mwao.Picha Zote na REUTERS/AFP

INASEMEKANA HUYU NDIE MWANAMKE MWENYE HIPS KUBWA ZAIDI DUNIANI

HILI NDILO GARI ANALOTUMIA OBAMA


HILI NDILO CADILLAC ONE, GARI MAALUM LA RAIS BARACK OBAMA WA MAREKANI ATALOTUMIA ARDHI YA TANZANIA.



HILI NDILO CADILLAC ONE, GARI MAALUM LA RAIS BARACK OBAMA WA MAREKANI ATALOTUMIA ARDHI YA TANZANIA.

 
 


With its tall roofline, obviously thick skin and fender-mounted flag stanchions, there's no mistaking the president's new limousine for any other stretched Cadillac DeVille. If you're still not sure, read the license plate.

On the final Monday of Bill Clinton's presidency, the White House and the chief executive prepared for a five-day visit with an imposing visitor, one that would soon become a trusted regular in George W. Bush's administration. No, this was not a foreign dignitary or an adviser. This was the new presidential limousine

Friday, 28 June 2013

SOMA HII KISHA UTAFAKARI MUSTAKABALI WA TAIFA HILI.JE TUTAFIKA?


BUNGE lime'fungwa' leo, lina idadi ya wabunge 356+1(mwanasheria mkuu wa serikali)
Kwa siku kila Mbunge analamba Tsh laki 2(seat allowance). Wamekaa bungeni siku 78. Ina maana 200,000/=@day times 78 days= 15,600,000/= kwa kila mbunge tu. Sasat hiyo 15,600,000 zidisha mara wabunge 357 unapata Tsh 5,564,200,000/=(kama sikosei).
Mshahara wa Mbunge si chini ya Milioni 7 kwa Mwezi,kwa Miezi miwili waliyokaa mjengoni wamevuna Tsh 4,984,000,000/= Grand Total(jumla kuu) ni Tsh 10,548,200,000/= bila kuweka marupu rupu mengine ya hapa na pale ndani ya bunge,kamati za bunge n.k.
Aisee...! Hivi rasimu ya katiba mpya si imetaja kupunguzwa kwa wabunge?! Nadhani hili linahusu. Ikibaki vile vile mimi mwaka 2015 nagombea ubunge kupitia Chadema,make kupitia chadema tu,ubunge nje nje!
Tuache masihara nchi ina matumizi kuliko inachoingiza,kwa nini mbunge posho isiwe elfu 50 kwa siku na mshahara ukawa kama Milion 2.5? Duh! Nchi ya kitu kidogo hii! Kingi wanakitumia wao!
Mihela hiyo jamaniiii... kwa raia wa kawaida huko Tanzania anaishi chini ya dola 2 kwa siku(TSH 3200)!
je hapa unasemaje ??

HII NDIO HUKUMU YA AKINADADA MNAOPENDA MAISHA YA MKATO


MTANZANIA MHITIMU WA CHUO MWAKA JANA (SAADAH) AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA YENYE THAMANI YA TSH.MIL 170

                                                 
                           

A BUSINESSWOMAN, SAADA KILONGO (26), APPEARED BEFORE THE KISUTU RESIDENT MAGISTRATE'S COURT IN DAR ES SALAAM YESTERDAY CHARGED WITH TRAFFICKING NARCOTIC DRUGS WORTH MORE THAN 170M/-.


BEFORE SENIOR RESIDENT MAGISTRATE NYIGULILA MWASEBO, THE ACCUSED WAS NOT ALLOWED TO ENTER ANY PLEA TO THE CHARGE. SHE WAS REMANDED UNTIL JULY 10, THIS YEAR, WHEN THE CASE WILL BE MENTIONED.


STATE ATTORNEY PETER MAUGO ALLEGED THAT ON JUNE 24, THIS YEAR, THE ACCUSED, A RESIDENT OF MBEZI BEACH RAINBOW WAS FOUND TRAFFICKING NARCOTIC SUBSTANCES NAMELY EPHEDRINE HCL AT JULIUS NYERERE INTERNATIONAL AIRPORT (JNIA). THE PROSECUTOR SAID THAT THE DRUGS WERE VALUED 170,481,000/ 


HAYA SASA HII NDIO HABARI YA MUJINI KAH!! MWENYEZ MUNGU ATUEPUSHE NA TAMAA NA MABALAA KAMA HAYA, SO SAD JAMAN NA AMEMALIZA CHUO LAST YEAR, IM SPEECHLESS!!!

HUYU NDIE PAA JOE MBUNIFU WA MAJENZEZA YA AJABU DUNIANI KUTOKA GHANA

HAYA NDIO MAAJABU YA RAISI MTOTO ALIPOMTEMBELEA OBAMA IKULU

ULIMWENGU NA MALIMWENGU!!!!!MTOTO WA MIAKA SABA ANAENDESHA GARI AKIWA AMEMBEBA DEREVA MLEVI CHAKARI

Polisi nchini Australia wamempata na hatia mwanamume mmoja kwa kosa la ulevi. 

Hata hivyo polisi waliposimamisha gari lake walishtushwa sana kupata gari la mwanamume huyo mlevi likiwa linaendeshwa na mtoto mwenye umri wa miaka saba. Polisi walilazimika kusimamisha gari hilo kwani lilikuwa likiendeshwa huku taa zake zikiwa zimezimwa saa tisa usiku. 

Polisi wamemchukulia hatua mwanaume huyo kwa kosa la kuendesha gari katika mazingira hatari akiwa mlevi. Hata hivyo mtoto huyo yuko na jamaa zake

BIBI YAKE OBAMA KUTUA DARESALAAM KUMUONA MJUKUU WAKE


SIKU CHACHE KABLA YA ZIARA YA RAIS WA MAREKANI KUJA NCHINI TANZANIA IMEFAHAMIKA KUWA BIBI YAKE NA RAIS ''OBAMA'' MAMA SARAH OBAMA ANATARAJIA KUJA NCHINI TANZANIA KUJA KUMSALIMIA MJUKUU WAKE HUYO.
AKIZUNGUMZA  JUZI KIJIJINI KWAKE ENEO LA KWEGERO HUKO KISUMU BIBI HUYO ALIEZALIWA MWAKA 1922 AMESEMA KUWA HAJISKII VIBAYA OBAMA KUTOITEMBELEA KENYA KWANI ANAJUA KUWA OBAMA NI RAIS WA TAIFA KUBWA DUNIANI,HIVYO ANAKUWA NA RATIBA AMBAYO INAZINGATIA MAMBO MENGI NA NI VIGUMU SANA KUIVUNJA.
 
BIBI HUYO AMEENDELEA KUSEMA KUWA ANAJISIKIA FURAHA KUONA MJUKUU WAKE HUYO KUJA TANZANIA KWANI HISTORIA INAONYESHA KUWA KABILA LA KIJALUO LINAMUINGILIANO MKUBWA KATI YA NCHI HIZI MBILI ZA TANZANIA NA KENYA HIVYO WAO WANAAMINI KUWA OBAMA AMEITEMBELEA NCHI YA NYUMBANI KWAO.

HIZI NDIZO WENYEWE WANAITA MATATU CULTURE ZA NAIROBI ZENYE KILA AINA YA UBUNIFU NA INTANETI YA BURE












BARACK OBAMA AWASILI SENEGAL IKIWA NI ZIARA YAKE YA KWANZA KATIKA ZIARA YAKE BARANI AFRIKA




Hi ni ziara ya pili ya Rais Obama Afrika
Rais Barack Obama amewasili Senegal katika ziara yake ya wiki moja barani Afrika na anatarajia kuzuru Afrika Kusini na Tanzania akilenga kustawisha demokrasia na masuala ya uchumi.
Hii ni ziara ya pili ya Obama barani Afrika tangu achaguliwe Rais mwaka 2008.
Hata hivyo ziara yake inatarajiwa kufifishwa na hali mbaya ya afya inayomkabili aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela. Ikulu ya white house imesema kuwa itategemea uamuzi wa familia ya Bwana Mandela iwapo Rais Obama anaweza kumtembelea hospitalini.
Katika mkutano wake wa leo na rais wa nchi hiyo, Mackey Sall, Rais Obama anatajiriwa kuipa heko Senegal kwa rekodi yake nzuri ya uthabiti ikizingatiwa iko kwenya kanda yenya misukosuko ya kisiasa.
Maafisa wa Marekani wanasema kuwa muhimu katika ziara ya Obama ni kustawisha demokarsia na nchi zote tatu anazotembelea ziko na demokasria thabiti.
Ni ziara ya pili ya Obama katika bara la Afrika tangu kuwa rais wa Marekani mwaka 2008

MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA KIFO CHA MCHEZAJI MARC VIVIEN FOE YAZUA TAFRANI HUKO CAMEROUN


Tarehe 26 mwezi Juni mwaka 2013,ilitimia miaka kumi tangu kufariki kwa mchezaji wa Kimataifa wa Cameroun Marc Vivien Foe, aliye anguka uwanjani wakati wa mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FIFA la Mabara mwaka 2003 nchini Ufaransa.
Serikali ya Cameroon hata hivyo iliahirisha shughuli kubwa iliyoandaliwa kwa ajili ya kumbukumbu ya kifo chake, hatua ambayo imezua malalamiko ya wananchi wengi wanaodai kupuuzwa kwa mchezaji huyo.
Kifo cha Foe kiliamsha taharuki kubwa Duniani hasa kwa kuzingatia kilitokea kwenye michuano mikubwa na wakati ambapo Cameroun ilikuwa na mashabiki lukuki kutokana na ubora wa timu yao.
Amekuwa ni mtu mwenye kuenziwa kwa kiwango cha juu kuanzia FIFA hadi vilabu alivyovitumikia wakati wa uhai wake hususan timu za Olympic Lyon, West Ham United na Manchester City.
Serikali ya Cameroun ilipanga maadhimisho makubwa ya kumkumbuka Foe akitimiza miaka kumi kaburini hivi leo na maandalizi yote yalikwisha kamilika, lakini imeahirisha na kusogeza mbele hadi mwezi ujao kwa ajili ya kupisha Mkutano Mkuu wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika Magharibi na Afrika ya Kati ulioanza jumatatu wiki hii Jijini Yaunde.
Wananchi wa nchi hiyo wameghadhibishwa na kitendo hicho na baadhi yao wamenukuliwa wakisema kuwa Rais Paul Biya na Serikali yake wameshindwa kuonyesha heshima inayomstahili marehemu Foe.

Taarifa ya Serikali imesema kuwa Imeandaa shughuli hiyo kwa wiki nzima kuanzia Julai 20 hadi 27 itakayofanyika kwenye kituo kilichopewa jina la mchezaji huyo katika eneo la Nkomo-Okoui, Jijini Yaunde.
Marc Vivien Foe alikufa kutokana na mshituko wa moyo katika mchezo dhidi ya Colombia na kifo chake kimechukuliwa kama fundisho kwa wadau wa mpira wa miguu duniani kuhakiki afya za wachezaji na hasa vipimo vya moyo kila wakati.
Jambo hilo bado linasugua vichwa vya watafiti wa afya na bado hakuna majibu ya moja kwa moja ya kwa nini wachezaji wanakufa viwanjani kwa matatizo ya moyo ilhali wanapimwa afya zao ipasavyo. Wengi bado wanakumbuka mkasa uliompata mchezaji wa ligi kuu ya England Fabrice Muamba aliyezimia kwa siku kadhaa baada ya kuanguka uwanjani kutokana na matatizo ya moyo, Muamba alisalimika na amejiuzulu kucheza mpira kabisa licha ya umri wake mdogo wa miaka 23.
Rekodi zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2003 wanasoka 38 wamekufa viwanjani kutokana na kutatizwa na moyo akiwemo Alen Pamic wa Croatia aliyekufa Ijumaa ya wiki iliyopita baada ya moyo wake kusimama ghafla.
Jamii ya wapenda soka duniani imeendelea kumkumbuka na kumuenzi Foe kwa matukio mbalimbali na mwezi Mei mwaka huu, Mchezaji wa Kimataifa wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang alishinda tuzo ya Marc Vivien Foe inayotolewa kwa mchezaji bora kutoka Afrika miongoni mwa ambao wanacheza ligi kuu ya Ufaransa.
Barabara jirani na ulipo uwanja alipofia Stade de Gerland mjini Lyon imepewa jina lake wakati mjini Lens huko huko Ufaransa Mtaa unaolekea uwanja mkubwa wa soka Stade Bollaert umebatizwa jina lake pia. Kadhalika kwenye uwanja wa City of Manchester umejengwa mnara mdogo kwa ajili ya kumbukumbu yake.
Kijana mmoja mjini Garoua nchini Cameroun ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa Simba huwa hafi bali anasinzia tu, akimaanisha kwamba Wacameroun bado wapo na kipenzi chao Marc Vivien Foe wanayeamini kuwa amesinzia tu

HII NDIO MAANA HALISI YA UPENDO WANAOONYESHA WANANCHI WA SOUTH AFRIKA KWA MANDELA



Mandela bado anaugua sana hospitalini
Mamia ya watu wanaendelea kukusanyika nje ya hospitali alikolazwa Nelson Mandela mjini Pretoria Afrika Kusini. Inaarifiwa Mandela bado yuko hali mahututi.
Wamekuwa wakimuimbia nyimbo na kumuombea nje ya hospitali. Wengine wamekusanyika katika iliyokuwa makaazi ya Mandela mtaani Soweto.
Watu wana wasiwasi kuhusu hali y mandela lakini pia wanataka kuonyesha wanavyojivunia kiongozi wao ambaye wanamuona kama baba wa taifa lao.
Mandela , rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini, anaugua maradhi ya Mapafu.
Mamia ya wananchi walikesha kwa maombi maombi nje ya makaazi ya zamani ya aliyekuwa rais wa taifa hilo Nelson mtaani Soweto.
Rais Jacob Zuma amesema kuwa afya ya shujaa huyo aliyepigana dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini humo inaendelea kuimarika.
Mandela aliye na umri wa miaka 94 amekuwa hospitalini akiuguwa ugonjwa wa maambukizi ya mapafu.
Awali mwanawe wa kike, Makaziwe alisema afya ya babake inaendelea kuwa njema.
Aidha Makaziwe amevikashifu vyombo vya habari kwa kukita kambi nje ya hospitali alikolazwa shujaa huyo akisema wanahabari wanapaswa kumheshimu babaake.
Rais Jacob Zuma alisema Alhamisi kuwa hali ya Mandela iliimarika lakini bado yuko hali mahututi.
"leo angalau yuko sawa kidogo kuliko nilivyomwacha jana usiku,'' alisema Rais Zuma baada ya kuongea na madakatari wanaomtibu Mandela.
Bwana Zuma alifutilia mbali safari yake ya Msumbiji ili kumtembelea Mandela hospitalini.
Wakati huohuo mwanawe Mandela Makaziwe alisema Mzee 'bado yupo' na kuwa anaweza kuhisi mtu akimgusa

HII INADHIHIRISHA NI JINSI GANI TULIVYO WATUMWA WA KIFIKRA.


Leo jioni wakati natoka katika shughuli zangu nilipita maeneo ya Mwenge pale stand ya mabasi nimekuta kweupe wale vijana wanao uza nguo kwa kupanga chini na kuzishika sikuwaona ...nikauliza nikaambiwa wamefukuzwa kwa ajili Oboma Anakuja...Mmhhh Kazi kweli kweli ...
Wakati bado nashangaa shangaa Mara likaja gari la Polisi na Wale mgambo wa jiji...Mara nikaona watu wanakimbia huku na kule ...Kushangaa kumbe wale wamachinga bado wapo ila wanauza kwa kujificha ficha kwenye vichochoro vya maduka..Sasa Kimbembe kikaanza wale wanamgambo wakawafuata huko huko na kuanza kuwapiga na kuwavunjia meza na viti vyao...Kwa kweli iliniuma sana kuona watanzania wenzetu wakifanyiwa hivyo ....Bado sijapata jibu ...siko zote mbona hawakufukuzwa ?? Huu Ugeni ndio imekuwa Nogwaaaaa....Na uhakika kuna ambao wanalisha na kutunza familia kwa kazi hizi za umachinga sasa watakula wapi kama hali ndio hiyo???

HAKI YAO KAMA RAIA HALALI WA TANZANIA IKO WAPI?KISA OBAMA TUWAFUKUZE!

KM
Ongeza kichwa

 
 Hawa ni baadhi ya omba omba jijini Dar es Salaam wakihamishwa maeneo yao
ya kazi ya kuomba.Kama unavyoona kwa picha hawako tayari kuhama kwa sababu hawana kazi ya kufanya zaidi ya kuomba wa wapita njia.Hivyo wanajua kabisa kitendo cha kuwaondoa katikati ya jiji ni kuwaua na njaa.Ok wavumilie Obama akimaliza ziara yake huenda serikali itawaruhusu tena kuendelea kuomba katikati yajiji 

Thursday, 27 June 2013

OXFAM YAIHIMIZA KWA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI KUWEKEZA KATIKA KUWAWEZESHA WAKULIMA WADOGO NA WA KATI KUPITIA KAMPENI YAKE YA GROW


IMG_7191
Mwanasheria –Mshauri Mwelekezi katika Masuala ya Haki za Ardhi – Emmanuel Massawe akifafanua jambo kwa wageni waalikwa wakati wa hafla ya kuwatangaza rasmi mabalozi wa OXFAM katika Kampeni ya GROW nchini itakayowezesha mfumo wa chakula kuwa wa haki na salama.
Na.Mo Blog Team
Taasisi isiyo ya kiserikali ya OXFAM kwa kupitia Kampeni yake ya GROW imewakutanisha pamoja masupa staa saba wa Tanzania wakiwemo Mbunge wa Kawe Mh. Halima Mdee pamoja na Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mh. Shy-Rose Bhanji kufanyakazi pamoja na vikundi vya wanawake wajasiriamali na wazalishaji, kwa lengo la kuhakikisha hakuna mtanzania atakayeteseka kwa njaa wakati mbinu za kilimo zinaweza kufanikiwa.
Akizungumza wakati wa kuwatambulisha rasmi mabalozi wa OXFAM kupitia kampeni hiyo, mmoja wa mabalozi hao Bi. Khadija Mwanamboka amesema kilimo sio tu ni sekta endelevu nchini Tanzania bali pia ni Nyanja inayowezesha kupatikana kwa chakula kwa familia na akiba ya chakula kwa taifa kwa kuwa asilimia 80 ya wajasiriamali nchini ni wakulima.
Nchini Tanzania takwimu zinaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 60 ya wajasiriamali wanawake wanajihusisha na kilimo kikiwepo cha mbogamboga na matunda.
Aidha kampeni hiyo inakusudia kuendeleza na kukuza uzalishaji utakaoyafanya mazao hayo ya kilimo kuwa na bei muafaka kwa faida ya wakulima hao wa chini na wa kati.
IMG_7195
Naibu Mkurugenzi Mkazi OXFAM-Justin Morgan akziungumza na wageni waalikwa namna kampeni hiyo itakavyofanya kazi zake za uhamasishaji hapa nchini.
IMG_7224
Mabalozi wa OXFAM katika kampeni ya GROW wakati wa hafla hiyo.
IMG_7262
Khadija Mwanamboka – Mbunifu wa Mavazi akipozi na Tuzo yake mara baada ya kutangazwa rasmi.
IMG_7249
Shamim Mwasha Fashion Blogger.
IMG_7257
Dina Marious- Mtangazaji wa Redio.
IMG_7240
Jacob Stephen Muigizaji.
IMG_7244
Masoud Kipanya Mchora Katuni.
IMG_7280
Mabalozi wa OXFAM katika kampeni ya GROW katika picha ya pamoja na Naibu Mkurugenzi Mkazi OXFAM-Justin Morgan (wa pili kushoto).
IMG_7236
Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki

RAISIOBAMA AANZA ZIARA YAKE KATIKA NCHI BAADHI ZA AFRICA


ObamainSenegal
Rais Obama na First Lady Michelle Obama wakiwa na Rais wa Senegal, Macky Sall na First Lady wa Senegal Ikulu Dakar, SenegalRais Obama yupo barani Afrika kwa ziara ambayo itamfikisha nchini Senegal, Tanzania na Afrika Kusini.Ameongozana na mkewe Michelle na watoto wao. Hii ni mara ya pili kwa Rais Obama kutembelea Afrika na mara ya kwanza tangu alipochaguliwa kuongoza kwa muhula wa pili. Wakati wa muhula wake wa kwanza Rais Obama alitembelea nchi za Ghana na Misri.

TUJIFUNZE UPENDO KUPITA KISA HIKI



Chipanzee born in a Russian Zoo,
after being abandoned by its mother
was adopted by a dog of the Mastiffbreed and his four adorable puppies
that make more than happy life of
small chimpanzeme