Thursday, 27 June 2013

RAISIOBAMA AANZA ZIARA YAKE KATIKA NCHI BAADHI ZA AFRICA


ObamainSenegal
Rais Obama na First Lady Michelle Obama wakiwa na Rais wa Senegal, Macky Sall na First Lady wa Senegal Ikulu Dakar, SenegalRais Obama yupo barani Afrika kwa ziara ambayo itamfikisha nchini Senegal, Tanzania na Afrika Kusini.Ameongozana na mkewe Michelle na watoto wao. Hii ni mara ya pili kwa Rais Obama kutembelea Afrika na mara ya kwanza tangu alipochaguliwa kuongoza kwa muhula wa pili. Wakati wa muhula wake wa kwanza Rais Obama alitembelea nchi za Ghana na Misri.

No comments:

Post a Comment