Friday, 5 July 2013

HUYU NDIE MWANAMKE TAJIRI ZAIDI KULIKO WOTE DUNIANI

Ukizungumzia Mwanamke mwenye upeo mkubwa na
 mwenye maendeleo duniani basi hautakosa kusikia
Jina ili kwenye Masikio yako......OPRAH WINFREY..
Oprah ambae amejipatia umaarufu kupitia kipindi chake
cha televisheni cha Utangazaji
kilichokuwa kinaeenda kwa jina la Oprah Winfrey Show
 na sasa kinaitwa OWN....
Mwanamama huyu alizaliwa Mwaka 1954,January
29 ndani ya nchi ya Marekani jiji la
Mississipi....!!
Mwanamama huyu kwa sasa ndie mwanamke mwenye
kisu kirefu na kikali zaidi duniani  kwa mujibu wa
mtandao wa FORBES yanii
hapa nikimaanisha ni mwanamama mwenye hela nyingi
kupita wanawake wote duniani na ndie
mwanamke mwenye ushawishi mkubwa kwenye maswala ya kijamii....!!
Mwenye utajiri ufikiao Dolla za Kimarekani 423 kwa
mwaka 2012-2013 june....
Bado akiwa amechangia vitu vingi kama miradi ya maji
kwenye bara la Afrika na sehemu mbalimbali
Afrika na duniani kiujumla......
Kwenye List hiyo Oprah ameweza kukaa akiongoza kwa
 muda wa miaka 6 akiwa mwanamke mwenye mshiko mrefu
huku anaemfatia kwa nyuma ni Beyonce & Lady Gaga
ambao amewaacha kwa mbali kabisa.....