Thursday, 4 July 2013

HII NDIO TANO BORA YA WACHEZAJI MATAJIRI ZAIDI DUNIANI

David Beckham mwenye umri wa
miaka 37 huyu ndie anaeongoza ameweka kibindoni hadi
sasa Paund za Kiingereza 175 milioni.....!!
2.Lionel Messi Mchezaji  wa Barcelona mwenye umri
 mdogo na mwenye kasi zaidi uwanjani huyu hadi sasa
kutokana na matangazo na kazi ya mpira ameingiza kiasi
cha paund za kiingereza
115.5 Milioni....
3.Cristiano Ronaldo mchezaji wa Real Madrid ya Uhispania
 huyu kutokana na matangazo
na mikataba mbalimbali hadi sasa ameingiza kiasi cha
paund za kiingereza 112 milioni..
4.Ricardo Kaka mchezaji wa Real Madrid ndio anashikilia
nafasi hii kwa sasa kutokana na matangazo
na biashara zake binafsi ameingiza hadi sasa paund za kiingereza 66.5 milioni
5.Ronaldinho mchezaji wa timu ya taifa ya Brazil ndio anaetufungia
 dimba akiwa ameshikilia nafasi
ya tano kwenye list hii akiwa ameingiza Paund za kiingereza
 63milioni hadi leo kutokana na mikataba
na matangazo mbalimbali ya wahisani

No comments:

Post a Comment