![]() |
David Beckham mwenye umri wa miaka 37 huyu ndie anaeongoza ameweka kibindoni hadi sasa Paund za Kiingereza 175 milioni.....!! |
![]() |
2.Lionel Messi Mchezaji wa Barcelona mwenye umri mdogo na mwenye kasi zaidi uwanjani huyu hadi sasa kutokana na matangazo na kazi ya mpira ameingiza kiasi cha paund za kiingereza 115.5 Milioni.... |
![]() |
3.Cristiano Ronaldo mchezaji wa Real Madrid ya Uhispania huyu kutokana na matangazo na mikataba mbalimbali hadi sasa ameingiza kiasi cha paund za kiingereza 112 milioni.. |
![]() |
4.Ricardo Kaka mchezaji wa Real Madrid ndio anashikilia nafasi hii kwa sasa kutokana na matangazo na biashara zake binafsi ameingiza hadi sasa paund za kiingereza 66.5 milioni |
No comments:
Post a Comment