wakati washindi mbalimbali wa tuzo za kilimanjaro wakiwa wamedondosha shoo babu kubwa mjini dodoma msanii ommy dimpoz amejikuta akilazimika kushuka jukwaani baada ya mashabiki kumrushia chupa huku wadau wakidai kamwe hawatamkubali msanii yeyote atakaye mzungumzia vibaya msanii wa dodoma.
linex akiwahukukumu
nija kazini
kala naye akifanya yake
No comments:
Post a Comment